• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali Yanayoulizwa Maranyingi |
    • Barua pepe za Watumishi |
Uyui  District Council
Uyui  District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Uyui

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Kimsingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Administration and Human Resource
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu Sekondary
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Maji
      • Envinment and Sanitation
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Ugavi
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Elimu
    • Huduma za Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za baraza la madiwani
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao
      • Ratiba ya Mwekekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayotekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Hotuba Mbalimbali

Usafi na Mazingira

Usafi na Mazingira

Malengo ya Idara

Kuwachukulia hatua kali za kisheria watu wote wanaojihusisha na vitendo vya kuchafua mazingira bila kufuata miongozo elekezi ya wasimamizi  wa mazingira

 - Kutekeleza sheria ya mazingira namba 20 ya mwaka 2004 na sheria ndogo za (Usafi wa Mazingira) za Halmashauri ya Wilaya ya Tabora 2015
 - Kuandaa mfumu Ratiba zinazoelekeza utaratibu wa shughuli zinazopashwa kufanyika kwa siku za usafi wa Mazingira za jumamosi ya mwisho mwa kila mwezi siku ya Kitaifa ya usafi wa Mazingira

  • Kupanda miti katika maeneo mbalimbali 
  • Kuthibiti shughuli za binadamu zinazo athiri mazingira
  • Kulinda na kutunza mazingira ya Halmashauri ya wilaya ya Tabora
  • Kuhamasisha jamii kupanda miti, maua, ili kupendezesha mazingira yao
  • Kufanya ukaguzi wa mazingira hususa ni katika maeneo yenye athari za kimazingira


MAJUKUMU YA  AFISA MAZINGIRA
Afisa Mazingira anafanya kazi kulingana na mwongozo wa Sheria ya Mazingira namba 20 ya Mwaka 2004 na Muundo wa Wizara inayosimamia Mazingira chini ya Ofisi ya Makamu wa Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Majukumu makuu ya Maofisa Mazingira yamegawanyika katika makundi makuu mawili:

  • USAFI
  • MAZINGIRA

USAFI WA MAZINGIRA

Usafi
Idara anafanya kazi ya usafi kwa kufanya kazi zifuatazo:

  • Usafi wa majengo
  • Usafi wa barabara kwa kufagia nakuokota takataka
  • Usafi wa hifadhi ya Barabara kwa kufyeka nyasi zoe ndefu
  • Usafi wa mitaro kwa kuizibua na kuondoa taka zote
  • Usafi wa Makazi ya watu kuwa na vifaa vya kutunzia taka ngumu
  • Usafi wa maeneo yote ya Biashara,masoko na sehemu wazi za serikali

MAZINGIRA
Idara anafanya kazi zifuatazo:

  • Kuhifadhi,kulinda na kuthibiti uharibifu na Uchafuzi wa Mazingira ya Udongo,Maji,Hewa na Sauti
  • Kupanda Miti rafiki na Mazingira nakuthibiti Uharibifu wa Misitu
  • Kuthibiti vitendo vyote vya uharibifu wa Mazingira kwenye vyanzo vya Maji
  • Kutoza ada za taka kwa wote wanao chafua Mazingira
  • Kuwakamata wote wanao fanya shughuli za uharibifu wa Mazingira
  • Kufanya tathimini ya awali za Kimazingira katika Miradi mbalimbali
  • Kufanya Ukaguzi wa athari za Kimazingira
  • Kufanya utambuzi na uchambuzi wa athari za Mazingira
  • Kutembelea maeneo yote yenye Migogoro ya Kimazingira
  • Kufanya tathimini na tathimi za Utekerezaji na maandalizi ya mpango Kazi wa Taifa wa Mazingira
  • Kuandaa taarifa mbalimbali za kimazingira

Matangazo

  • TANGAZO LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA WAPIGA KURA April 30, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MKATABA April 18, 2024
  • TANGAZO LA MKOPO KWA UMMA October 04, 2024
  • MGAWANYO WA MAENEO YA UTAWALA KATIKA SERIKALI ZA MITAA (MAMLAKA ZA WILAYA) 2024 September 06, 2024
  • Soma zote

Habari Mpya

  • ZIARA YA KAMATI YA SIASA MKOA WA TABORA KATIKA WILAYA YA UYUI TAREHE 6 JANUARI 2024

    January 06, 2025
  • MAELEKEZO YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 26 SEPTEMBA 2024

    September 27, 2024
  • UYUI DC YAFANYA DUA NA SALA MAALUM KWA NCHI NA VIONGOZI WA NCHI KUELEKEA MAAZIMISHO YA MIAKA 60 YA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR

    April 22, 2024
  • MHE. ZAKARIA MWANSANSU MKUU WA WILAYA YA UYUI AKISISITIZA MAMBO MUHIMU KATIKA KUELEKEA KUAZIMISHA MUUNGANO WA MIAKA 60 WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR

    April 19, 2024
  • Soma zote

Video

SAMIA SULUH
Video Nyinginezo

Viunganishi vya Haraka

  • Zabuni
  • Matukio
  • Matangazo
  • Habari Mpya

Tovuti Muhimu

  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Tabora RAS
  • Tovuti ya Baraza la Mitihani
  • Watumishi Portal
  • Tabora MC

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Uyui District Council

    Anuani ya Posta: S.L.P 610

    Simu ya Mezani: +255 26 296 6008

    Simu ya Mkononi: (1) +255 768867886

    Barua pepe: ded@uyuidc.go.tz

Mawasiliano Zaidi

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali Yanayoulizwa Maranyingi
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Copyright ©2016 UyuiDC . All rights reserved.